Thursday, October 20, 2016

Naibu Waziri wa Mambo ya Nje atembelea Ofisi za Mambo ya Nje Zanzibar

Naibu Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Mhe. Dkt. Susan Kolimba akizungumza na Watumishi wa Wizara waliopo Ofisi ya Wizara ya Zanzibar. Wengine ni baadhi ya Watumishi wakimsikiliza akiwemo Mkurugenzi wa Idara hiyo, Balozi Silima Haji (wa kwanza kulia)
Naibu Waziri Mhe. Dkt Susan Kolimba akitoa maelekezo kwa watumishi hao
Baadhi ya Watumishi wakimsikiliza Naibu Waziri Mhe. Dkt. Susan Kolimba (hayupo pichani)

No comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.