Monday, October 10, 2016

Rais Mhe. Dkt. Magufuli apokea Hati za Utambulisho kutoka kwa Mabalozi

Balozi wa Jamhuri ya Ghana mwenye makazi yake Nairobi, Kenya, Mhe.Kwame Asamoah Tenkorang akisaini kitabu cha Wageni alipowasili Ikulu Jijini Dar es Salaam kukabidhi Hati za Utambulisho kwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Joseph Pombe Magufuli
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Joseph Pombe Magufuli akipokea Hati za Utambulisho kutoka kwa Balozi wa Jamhuri ya Ghana, Mhe. Kwame Asamoah Tenkorang Ikulu Jijini Dar es Salaam. Katikati ni Kaimu Mkuu wa Itifaki, Bw. James Bwana
Balozi wa Jamhuri ya Sudan mwenye makazi yake Nairobi, Kenya Mhe. Mahjoub Ahmed Abd Allah Sharfi akisaini kitabu cha Wageni alipowasili Ikulu Jijini Dar es Salaam kukabidhi Hati za Utambulisho kwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Joseph Pombe Magufuli
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Joseph Pombe Magufuli akipokea Hati ya Utambulisho kutoka kwa Balozi wa Jamhuri ya Sudan, Mhe. Mahjoub Ahmed Abd Allah Sharfi Ikulu Jijini Dar es Salaam
Balozi wa Jamhuri ya Slovak mwenye makazi yake Nairobi, Kenya, Mhe. Frantisek Dlhopolcek akisaini kitabu cha wageni kabla ya kukabidhi Hati za Utambulisho kwa Mhe. Rais Dkt. John Pombe Magufuli
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. John Pombe Magufuli akipokea Hati za Utambulisho kutoka kwa Balozi wa Jamhuri ya Slovak mwenye makazi yake Nairobi, Kenya, Mhe. Frantisek Dlhopolcek Ikulu Jijini Dar es Salaam
Mhe. Rais Magufuli akiwa katika picha ya pamoja na Balozi wa Slovak. Wengine katika picha ni Naibu Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Mhe. Dkt. Susan Kolimba (mwenye sketi nyeusi), Mkurugenzi wa Idara ya Ulaya na Amerika, Balozi Joseph Sokoine (wa pili kulia) na Mshauri wa Rais masuala ya Diplomasia, Balozi Zuhura Bundala.
Balozi wa Ukraine mwenye makazi yake Nairobi, Kenya Mhe. Yevhenii Tsumbaliuk akisaini kitabu cha wageni Ikulu Jijini Dar es Salaam kabla ya kukabidhi Hati za Utambulisho kwa Mhe. Rais, Dkt. Joseph Pombe Magufuli
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. John Pombe Magufuli akipokea Hati za Utambulisho kutoka kwa Balozi wa Ukraine mwenye makazi yake Nairobi, Kenya Mhe. Yevhenii Tsymbaliuk Ikulu Jijini Dar es Salaam

No comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.