Sunday, October 2, 2016

Makamu wa Rais wa Cuba, Mhe. Salvador Valdes Mesa awasili Nchini


Makamu wa Rais wa Jumhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan akimpokea Makamu wa Rais wa Cuba Mhe. Salvador Valdes Mesa mara baada ya kuwasili katika Uwanja wa ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere Jijini Dar es Salaam. Mhe. Mesa atakuwa Nchini kwa ziara ya siku tatu kuanzia tarehe 2- 4 Oktoba, 2016.

Makamu wa Rais wa Cuba, Mhe. Mesa akipokea ua kutoka kwa mtoto Atkah Omary mara baada ya kuwasili katika uwanja wa ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere.

No comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.