Wednesday, October 5, 2016

Rais wa Congo ahitimisha ziara yake nchini

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. John Pombe Magufuli akiwa na mgeni wake Rais wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo, Mhe. Joseph Kabila (aneyepunga mkono) alipomsindikiza Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere tayari kwa kuondoka kurejea nchini kwake baada ya kumaliza ziara yake ya siku tatu nchini
Mhe. Kabila akizungumza na Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Mhe. Balozi Dkt. Augustine Mahiga katika hafla ya kumwaga baada ya kuhitimisha ziara yake nchini.
Mhe. Rais Kabila akimwaga  Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan huku Mhe. Rais Magufuli akishuhudia
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt John Pombe Magufuli akiagana rasmi  na Rais Kabila wakati akielekea kupanda ndege kurejea nchini Congo baada ya kuhitimisha ziara yake nchini


No comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.