Friday, September 8, 2023

RAIS WA BURUNDI AREJEA NYUMBANI

 

Rais wa Jamhuri wa Burundi Mheshimiwa, Evariste Ndayishimiye ameondoka nchini kurejea Burundi baada ya kushiriki Mkutano wa Wakuu wa Nchi wa Jukwaa la Mfumo wa Chakula Afrika (AGRF) uliofanyika nchini kuanzia tarehe 5-8 Septemba 2023          
  

Rais wa Jamhuri wa Burundi Mheshimiwa, Evariste Ndayishimiye akiagana na Mkuu wa Mkoa wa Dar Es Salaam Mhe. Alberet Chalamila katika Uwanja wa Ndege wa Julius Nyerere jijini Dar es Salaam


Rais wa Jamhuri wa Burundi Mheshimiwa, Evariste Ndayishimiye akiwaaga viongozi wa mbalimbali waliofika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere kwa ajili ya kumuaga tayari kwa safari ya kurejea Burundi baada ya kushiriki Mkutano wa Wakuu wa Nchi wa Jukwaa la Mfumo wa Chakula Afrika (AGRF) uliofanyika nchini kuanzia tarehe 5-8 Septemba 2023

Rais wa Jamhuri wa Burundi Mheshimiwa, Evariste Ndayishimiye akiwaaga viongozi wa mbalimbali waliofika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere kwa ajili ya kumuaga tayari kwa safari ya kurejea Burundi baada ya kushiriki Mkutano wa Wakuu wa Nchi wa Jukwaa la Mfumo wa Chakula Afrika (AGRF) uliofanyika nchini kuanzia tarehe 5-8 Septemba 2023.
Rais wa Jamhuri wa Burundi Mheshimiwa, Evariste Ndayishimiye akiwa na Waziri wa Madini Mhe. Anthony Mavunde akikagua gwaride maalum katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere kwa ajili ya kumuaga tayari kwa safari ya kurejea nchini Burundi


Rais wa Jamhuri wa Burundi Mheshimiwa, Evariste Ndayishimiye (kushoto) akiwa na Waziri wa Madini (kulia) akiwaaga wananchi waliofika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere kwa ajili ya kumuaga tayari kwa safari ya kurejea nchini Burundi baada ya kushiriki Mkutano wa Wakuu wa Nchi wa Jukwaa la Mfumo wa Chakula Afrika (AGRF) uliofanyika nchini kuanzia tarehe 5-8 Septemba 2023
kikundi cha ngoma kikitumbuiza katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere kwa ajili ya kumuaga Rais wa Jamhuri wa Burundi Mheshimiwa, Evariste Ndayishimiye kurejea Burundi baada ya kushiriki Mkutano wa Wakuu wa Nchi wa Jukwaa la Mfumo wa Chakula Afrika (AGRF) uliofanyika nchini kuanzia tarehe 5-8 Septemba 2023

Waziri wa Madini Mhe. Anthony Mavunde akiwa katika chumba cha wageni maalum katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere wakati wa kumsindikiza Rais wa Jamhuri wa Burundi Mheshimiwa, Evariste Ndayishimiye aliyekuwa akiondoka nchinii kurejea nchini Burundi


Rais wa Jamhuri wa Burundi Mheshimiwa, Evariste Ndayishimiye ameondoka nchini kurejea Burundi baada ya kushiriki Mkutano wa Wakuu wa Nchi wa Jukwaa la Mfumo wa Chakula Afrika (AGRF) uliofanyika nchini kuanzia tarehe 5-8 Septemba 2023.

 

Mhe.Evariste Ndayishimiye ameondoka nchini kupitia Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere (JNIA) wa Dar es salaam na kuagwa na Waziri wa Madini Mheshimiwa Anthony Peter Mavunde na Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam Mhe. Albert Chalamila.

 

Mkutano wa Wakuu wa nchi wa Jukwaa hilo ulihudhuriwa na Marais kutoka nchi za Kenya,Burundi, Senegal na mwenyeji Tanzania. Marais walioshiriki mkutano huo ni Mhe. William Ruto wa Jamhuri ya Kenya, Mhe. Evarist Ndayishimiye wa Jamhuri ya Burundi, Mhe. Macky Sall wa Jamhuri ya Senegal na mwenyeji wao Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Mhe. Dkt. Hussein Mwinyi Rais wa Zanzibar.


No comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.