Tuesday, September 5, 2023

WAZIRI MAKAMBA ATEMBELEA ENEO LITAKALOJENGWA UBALOZI NAIROBI , KENYA


Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Mhe. January Makamba (wa tatu kushoto) katika picha ya pamoja na maafisa Ubalozi na wakandarasi alipotembelea kiwanja cha Ubalozi wa Tanzania kilichopo eneo la UpperHill, Nairobi Kenya.

Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Mhe. January Makamba (wa tatu kushoto) katika picha ya pamoja na maafisa Ubalozi na wakandarasi alipotembelea kiwanja cha Ubalozi wa Tanzania kilichopo eneo la UpperHill, Nairobi Kenya.

Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Mhe. January Makamba (wa tatu kushoto) katika picha ya pamoja na maafisa Ubalozi na wakandarasi alipotembelea kiwanja cha Ubalozi wa Tanzania kilichopo eneo la UpperHill, Nairobi Kenya.

Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Mhe. January Makamba atembelea kiwanja cha Ubalozi wa Tanzania kilichopo UpperHill, Nairobi Kenya. Ziara hiyo ameifanya tarehe 4 Septemba 2023 kwa lengo kukagua maandalizi ya kuanza ujenzi wa jengo la Ubalozi na kitega uchumi

Akiwa kwenye kiwanja hicho, Waziri Makamba amejionea baadhi ya mahitaji na vifaa muhimu ambavyo vimeanza kukusanywa na Mkandarasi tayari kuanza ujenzi huo.

Mhe. Waziri yuko Nairobi, nchini Kenya kuhudhuria Mkutano wa Afrika kuhusu Mabadiliko ya Tabia Nchi unaofanyika Jijini Nairobi.

No comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.