Tuesday, September 26, 2023

WAZIRI MAKAMBA AKUTANA NA BALOZI WA CANADA

 

Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Mhe.January Makamba (Mb.) akizungumza na Balozi wa Canada nchini Mhe. Kyle Nunas katika Ofisi ndogo za Wizara jijini Dar es Salaam

Balozi wa Canada nchini Mhe. Kyle Nunas akizungumza na Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Mhe. January Makamba katika Ofisi ndogo za Wizara jijini Dar es Salaam


 

Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Mhe.January Makamba katika picha na Balozi wa Canada nchini Mhe. Kyle Nunas walipokutana katika Ofisi ndogo za Wizara jijini Dar es Salaam


Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Mhe.January Makamba na ujumbe wake katika picha ya pamoja na Balozi wa Canada nchini Mhe. Kyle Nunas na ujumbe wake walipokutana katika Ofisi ndogo za Wizara jijini Dar es Salaam


 

Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Mhe. January Makamba (Mb.) amekutana na kuzungumza na Balozi wa Canada nchini Mhe. Kyle Nunas katika Ofisi ndogo za Wizara jijini Dar es Salaam.

Viongozi hao wamejadiliana njia za kuendelea kuimarisha uhusiano wa Kidiplomasia kati ya Tanzania na Canada.
 

Mhe. Balozi Nunas pia ameipongeza Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa kuwa mwenyeji wa mkutano wa Jukwaa la Chakula (AGRF) uliofanyika jijini Dar es Salaam mwezi Septemba 2023.

No comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.