Tuesday, May 21, 2024

EU KUIPATIA TANZANIA MSAADA WA BILIONI 12




Mheshimiwa Prof. Kitila Mkumbo, akifuatilia majadiliano wakati wa Jukwaa la Biashara na Uwekezaji baina ya Tanzania na Ubelgiji. Kushoto kwake ni Bw. Matthias Haerynck, Mkurugenzi wa Masuala ya Uchumi katika Wizara ya Mambo ya Nje ya Ubelgiji.

 

Mheshimiwa Waziri Prof. Kitila Mkumbo viongozi wengine waandamizi wa Serikali akifuatilia kwa ukaribu majadiliano katika Kongamano la Biashara na Uwekezaji baina ya Tanzania na Ubelgiji.

Mtendaji Mkuu wa Kituo cha Uwekezaji Tanzania (TIC) Bw. Gilead John Teri akielezea fursa mbalilmbali za uwekezaji nchini Tanzania katika Mkutano Maalumu wa Chemba ya Biashara ya Ubelgiji, Luxembourg na Nchi za Afrika, Caribbean na Pacific (CBL-ACP). 


Ujumbe wa Tanzania katika Jukwaa la Biashara na Uwekezaji ukitembelea kampuni ya Frisonat inayojihusisha na utengenezaji wa bidhaa za chuma

Ujumbe wa Tanzania katika Jukwaa la Biashara na Uwekezaji ukitembelea shamba la mfano katika Chuo cha Ghent

Waziri Mheshimiwa Prof. Kitila Mkumbo(Mb) akishiriki katika jopo maalumu kwenye Mkutano wa Ngazi za Juu kuhusu madini ya Kimkakati



Wajumbe kutoka Tanzania wakiwa katika picha ya pamoja baada ya kushiriki ziara ya kutembelea shamba la mfano katika Chuo Kikuu cha Ghent pamoja na Kampuni ya Frisonat inayojihusisha na uzalishaji wa bidhaa za chuma. 

Mtendaji Mkuu wa Kituo cha Uwekezaji Tanzania (TIC) Bw. Gilead John Teri akielezea fursa mbalilmbali za uwekezaji nchini Tanzania katika Mkutano Maalumu wa Chemba ya Biashara ya Ubelgiji, Luxembourg na Nchi za Afrika, Caribbean na Pacific (CBL-ACP). 

Makamu wa Rais wa Chemba ya Biashara, Viwanda na Kilimo Tanzania (TCCIA) akikabidhi zawadi maalumu kwa Rais wa Chemba ya Biashara ya Ubelgiji, Luxembourg na ACP (CBL-ACP) 


Mheshimiwa Waziri Prof. Kitila Mkumbo viongozi wengine waandamizi wa Serikali akifuatilia kwa ukaribu majadiliano katika Kongamano la Biashara na Uwekezaji baina ya Tanzania na Ubelgiji.


Waziri Prof. Kitila Mkumbo (Mb), Waziri wa Nchi, Mipango na Uwekezaji akiongoza ujumbe wa Tanzania na wageni wengine katika hafla maalumu ya kumbukizi ya miaka 60 ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania iliyofanyika sambamba na Kongamano la Biashara na Uwekezaji baina ya Tanzania na Ubelgiji

Wabunge watatu wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania wakiongozwa na Mheshimiwa Joseph Kizito Mhagama, Mbunge wa Jimbo la Madaba na Mwenyekiti wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Utawala, Katiba na Sheria ambao walishiriki kwenye Kongamano wakijadiliana jambo.


Mheshimiwa Prof. Kitila Mkumbo (Mb), Waziri wa Nchi, Mipango na Uwekezaji akifuatilia kwa ukaribu majadiliano katika Mkutano wa Ngazi za Juu kwenye Masuala ya Madini ya Kimkakati 


Prof. Kitila Mkumbo (Mb), Waziri wa Nchi, Mipango na Uwekezaji akiwa katika picha ya pamoja na Bw. Koen Doens, Mkurugenzi wa Ubia wa Kimataifa wa Umoja wa Ulaya baada ya mazungumzo

Katibu Mkuu wa Wizara ya Madini, Bw. Kheri Mahimbali, akieleza fursa mbalimbali katika sekta ya madini wakati wa kikao baina ya ujumbe wa Tanzania na makampuni makubwa ya madini ndani ya Umoja wa Ulaya 

Mtendaji Mkuu wa Kituo cha Uwekezaji Tanzania (TIC) Bw. Gilead John Teri akielezea fursa mbalilmbali za uwekezaji nchini Tanzania katika Kongamano la Biashara na Uwekezaji baina ya Tanzania na Ubelgiji








No comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.