Saturday, May 18, 2024

Balozi Mbarouk Nassoro Mbarouk (Mb.) ameongoza Mbio za African Day Marathon

Naibu Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Mhe. Balozi Mbarouk Nassoro Mbarouk (Mb.) ameongoza Mbio za African Day Marathon zilizo fanyika leo jijini Dar es Salaam katika ofisi ndogo za Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki.

Katibu Mkuu Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Balozi Dkt. Samwel Shelukindo  akianzisha Mbio za Kilomita 15, Mbio hizo zimeratibiwa na Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Umoja wa Mabalozi wanao ziwakilisha nchi zao hapa pamoja na Shirikisho la Riadha Tanzania, mbio hizo zimehudhuriwa na wanariadha maarufu nchini akiwemo, Alphonce Simbu, Gabriel Geay, Magdalena Crispin Shauri pamoja na Jackline Sakilu.

Juu na Chini ni sehemu washiriki wakiwa wameanza mbio za Kilomita 15



Balozi wa Japan nchini Tanzania akiwa kwenye Mbio za Kilomita 15.

Balozi wa Cuba nchini naye akiwa kwenye 



 

No comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.