| Balozi Kocsis akisaini Kitabu cha Wageni mara baada ya kuwasili Ikulu. |
| Balozi Kocsis akisalimiana na Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Mhe. Bernard K. Membe (Mb.) mara baada ya kuwasilisha Hati zake za Utambulisho kwa Mhe. Rais. |
| Balozi Kocsis akisalimiana na Balozi Joseph Sokoine, Mkurugenzi wa Idara ya Ulaya na Amerika katika Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa |
| Mhe. Rais Kikwete akizungumza na Balozi Kocsis. |
| Mhe. Rais katika picha ya pamoja na Balozi Kocsis, Waziri Membe na Mhe. Mark Mwandosya, Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Kazi Maalum. |
| ASP Kulwa akiongoza Bendi ya Polisi wakati wa mapokezi ya Balozi Kocsis (hayupo pichani) |
No comments:
Post a Comment
Note: Only a member of this blog may post a comment.