Sunday, July 6, 2014

Mwanamfalme Akishino wa Japan amaliza ziara yake rasmi nchini

Naibu Waziri wa Katiba na Sheria Angela Kairuki (Mb.) akizungumza na Mwana Mfalme wa Japan Prince Akishino kabla ya kuondoka. Prince Akishino amemaliza ziara yake aliyo ifanya hapa nchini kuanzia tarehe 3 hadi 6 Julai 2014
Naibu waziri Angela Kairuki akimsindikiza Mwana Mfalme wa Japan Prince Akishino tayari kwa kuanza safari, kushoto pichani Afisa Mambo ya Nje Ramadhani Ditopile
Naibu Waziri Angela Kairuki akiagana na Mwana Mfalme wa Japan Prince Akishino kabla ya kuanza safari yake katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere, Dar es salaam.

Picha na Reginald Philip

No comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.