Tuesday, July 8, 2014

Wanafunzi wa Chuo cha Diplomasia wapata semina Wizarani

Mkurugenzi wa Idara ya Asia na Australasia, Balozi Mbelwa Kairuki akitoa mada kuhusu Sera ya Mambo ya Nje na Uhusiano kati ya nchi na nchi hususan uhusiano wa nchi za Asia na Tanzania katika semina kwa  Wanafunzi wa Chuo cha Diplomasia (CFR) wanaofanya mafunzo kwa vitendo  Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa. 
Baadhi ya Wanafunzi hao wakimsikiliza Balozi Mbelwa (hayupo pichani)
Afisa Mambo ya Nje, Bw. Batholomeo Jungu akifuatilia semina hiyo
Semina ikiendelea

No comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.