Saturday, July 5, 2014

Waziri Membe ahudhuria msiba wa Mzazi wa Felista Rugambwa

Mhe. Bernard K. Membe, Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa akitoa heshima za mwisho kwenye Kanisa la Anlikana la Mt. Joseph, kumuaga Mzee Rugambwa ambaye ni baba wa mtumishi wa Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa Idara ya Ulaya na Marekani Bi. Felista Rugambwa leo Julai 5, 2014.  
Mhe. Bernard K. Membe, Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa akiwa na Katibu Mkuu wa Wizara John Haule na Mkurugenzi wa Idaho ya Ulaya na Marekani Balozi Joseph Sokoine, wakifuatilia misa iliyofanyika kwenye kanisa la Mt. Josefu, Dar es salaam leo tarehe 5 Julai 2014. 

Felista Rugambwa (wa tatu kutoka kushoto) akiwa na ndugu zake wakifuatilia misa.
Familia ya Marehemu Mzee Rugambwa wakitoa shukrani (pichani juu)                        

Katibu Mkuu wa Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa Bw. John Haule akitoa shukrani kwa niaba ya Wizara (pichani chini)


No comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.