Tuesday, July 8, 2014

Viongozi mbalimbali watembelea banda la Mambo ya Nje sabasaba

Kamanda wa Polisi wa Kanda Maalum ya Dar es Salaam Suleiman Kova  akisaini kitabu cha wageni alipotembelea Banda la Maonesho la Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa katika Viwanja vya Sabasaba
Mtumishi wa Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Bi. Janeth Widambe akipata maelezo alipotembelea Banda la Mambo ya Nje katika Viwanja vya Sabasaba
Wananchi wakiwa wamefurika katika Banda la Maonesho la Mambo ya Nje katika Viwanja vya Sabasaba jijini Dar es Salaam
Kamanda wa Polisi wa Kanda Maalumu ya Dar es Salaam Suleiman Kova akiwa katika picha ya pamoja na baadhi ya Watumishi wa Mambo ya Nje na Taasisi zake.

Picha na Reginald Philip

No comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.