Wednesday, July 16, 2014

Membe awa mgeni rasmi siku ya Taifa ya Ufaransa

Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Mhe. Bernard K. Membe (Mb.) akizungumza katika hafla ya kusheherekea siku ya Taifa la Ufaransa. Halfa iliyofanyikia katika makazi ya Balozi wa taifa hilo nchini, Mhe. Marcel Escure Jijini Dar es Salaam hivi karibuni. Kulia ni Mkuu wa Mabalozi ambaye pia ni Balozi wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (DRC), Mhe. Juma Alfani Mpango. 
Mhe. Membe akizungumza wakati wa hafla hiyo huku wageni waalikwa wakimsikiliza.


Picha na Reginald Philip

No comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.