Friday, July 4, 2014

Dkt. Shein akutana na Mwana Mfalme wa Japan

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe. Dkt Ali Mohamed Shein (kulia) akisalimiana na Mwana Mfalme wa Japani Prince Akishino alipowasili Ikulu Mjini Zanzibar leo akiambatana na Mkewe Princess Akishino na baadae kufanya Mzazungumzo.
Rais wa Zanzibar Dkt. Ali Mohamed Shein (kushushoto) akizungumza na Mwana Mfalme wa Japan Prince Akishino
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe. Dkt Ali Mohamed Shein (katikati) akiwapa maelezo Mwana Mfalme wa Japani Prince Akishino na Mkewe juu ya moja ya mti uliopo mbele yao
Picha ya pamoja


Picha na Reginald Philip

No comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.