Wednesday, July 16, 2014

Rais Kikwete apokea Hati za Utambulisho za Balozi wa Ujerumani nchini

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Jakaya Mrisho Kikwete akipokea Hati za Utambulisho kutoka kwa Mhe. Egon Kochanke, Balozi wa Ujerumani nchini Tanzania. Hafla hiyo ilifanyika Ikulu, jijini Dar es Salaam tarehe 15 Julai, 2014.
Balozi Kochanke akisaini Kitabu cha Wageni mara baada ya kuwasili Ikulu.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Jakaya Mrisho Kikwete akiwa katika mazungumzo na Mhe. Egon Kochanke
Picha ya pamoja
Balozi Kochanke akisikiliza Wimbo wa Taifa lake ukipigwa kwa heshima yake mara baada ya kuwasili Ikulu. Kulia ni Mkurugenzi na Mkuu wa Itifaki, Balozi Mohammed Juma Maharage na kushoto ni Mnikulu, Bw. Shaaban Gurumo

Picha na Reginald Philip

No comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.