Tuesday, July 1, 2014

Mhe. Membe azungumza na Balozi wa Sweden hapa nchini


Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Mhe. Bernard K. Membe (Mb.)  akimkaribisha Ofisini kwake Balozi wa Sweden hapa nchini, Mhe. Lennarth Hjelmaker
alipofika kwa mazungumzo.
Mhe. Membe akimsikiliza Balozi Hjelmaker wakati wa mazungumzo yao ambapo pamoja na mambo mengine walizungumzia suala la ushirikiano kati ya Tanzania na Sweden ambao unatimiza miaka 50 mwaka huu.
Balozi Hjelmaker akimwonesha Mhe. Membe picha mbalimbali ambazo zipo kwenye Kitabu kinachoelezea miaka 50 ya Ushirikiano kati ya Tanzania na Sweden. 


No comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.