Thursday, November 10, 2016

Kaimu Katibu Mkuu Mambo ya Nje akutana na Mhariri Mtendaji wa TSN

Kaimu Katibu Mkuu wa  Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Balozi Ramadhan Muombwa Mwinyi akiongoza kikao alipokutuna na ujumbe kutoka Kampuni ya Magazeti ya Serikali (TSN) Wizarani jijini Dar es Salaam

Mhariri Mtendaji wa Kampuni ya Magazeti ya Serikali (TSN) Dkt. Jim J. Yonazi (kulia) akifuatilia mazungumzo wengine ni Mkuu wa kitengo cha Utafiti wa Kampuni hiyo Bi.Ichikael Maro na Afisa Biashara wa Wizara, Bw. Amadeus Mzee
Mkurugenzi wa Idara ya Afrika, Balozi Samuel Shelukindo (kushoto), na Kaimu Mkuu wa Kitengo cha Mawasilano Serikalini,  Bi. Robi Bwiru wakifuatilia mazungumzo. Wengine Maafisa kutoka Kitengo cha Mawasiliano Serikalini

No comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.