Tuesday, November 29, 2016

Rais Magufuli amwandalia Rais Lungu dhifa ya Kitaifa Ikulu, Jijini Dar es Salaam


Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. John Pombe Magufuli akiwa na mgeni wake Rais wa Zambia Mhe. Edgar Lungu wakielekea sehemu maalumu ilipoandaliwa dhifa ya kitaifa

Waheshimiwa wa Marais Wastaafu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar wakielekea sehemu ilipoandaliwa dhifa kitaifa Ikulu, Jijini Dar es Salaam

Meza kuu wakiwa wamesimama wakati wimbo wataifa ukipigwa

Mhe. Rais Dkt. John Pombe Magufuli akigonganisha glass na Rais wa Zambia Mhe. Edga Lungu kwenye dhifa ya kitaifa


Rais wa Zambia Mhe. Edgar Lungu akisalimiana na Rais Mstaafu wa Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Alhaji Ali Hassan Mwinyi

Mhe Rais Dkt. John Pombe Magufuli na Rais wa Zambia Mhe. Edgar Lungu awakitoa maelekezo kwa baadhi ya Watendaji wa Serikali mara baada yadhifa. Kulia na Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Mhe.Balozi Dkt. Augustine Mahiga

No comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.