Wednesday, November 9, 2016

Waziri Mahiga akutana na Balozi wa Jamhuri ya Watu wa China Nchini

Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Mhe. Balozi Dkt. Augustine Mahiga akisalimiana na Balozi wa Jamhuri ya Watu wa China nchini Mhe. Dkt. Lu Youqing alipomtembelea Wizarani Jijini Dar es Salaam. Mazungumzo yao yalijikita katika kujadidili masuala mbalimbali ya kuimarisha ushirikiano zaidi baina ya Tanzania na China na utekelezaji wa miradi mbalimbali ya kimaendeleo Nchini.
Waziri Mhe. Balozi Dkt. Mahiga akifafanua jambo wakati wa mazungumzo na Balozi wa China nchini Mhe. Dkt.Youqing


Mazungumzo yakiendelea

Waziri Mhe. Balozi Dkt. Mahiga akimsikiliza  Balozi wa Jamhuri ya Watu wa China Mhe. Dkt. Youqing

No comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.