Friday, November 18, 2016

Waziri Mahiga asaini Mkataba na Serikali ya China


Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Mhe. Balozi Dkt. Augustine Mahiga na Balozi wa Jamhuri ya Watu wa China  nchini Tanzania, Mhe. Dkt. Lu Youqing wakisaini Mkataba wa Makubaliano ya uwekwaji wa samani katika Ukumbi wa Mikutano wa Kimataifa wa Julius Nyerere Jijini Dar es Salaam. Tukio hili limefanyika mapema leo Wizarani Jijini Dar es Salaam


Mazungumzo yakiendelea kabla ya kusaini mkataba

Mhe. Waziri Mahiga akifafanua jambo kwa Balozi wa China nchini Tanzania Balozi Dkt. Youqing walipokutana Wizarani Jijini Dar es Salaam

No comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.