Monday, November 14, 2016

Waziri Mahiga apokea hati ya utambulisho kutoka kwa Konseli Mkuu wa Ubalozi mdogo wa Oman Zanzibar

Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Mhe. Balozi Dkt. Augustine Mahiga akisalimiana na Konseli Mkuu wa Ubalozi mdogo wa Oman, Zanzibar Mhe. Ahmed Hamood Al Habs alipowasili Wizarani Jijini Dar es Salaam kabla ya kukabidhi hati ya utambulisho 

Mhe. Wiziri Balozi Dkt. Augustine Mahiga akipokea hati za utambulisho kutoka kwa Konseli Mkuu wa Ubalozi mdogo wa Oman, Zanzibar Mhe. Ahmed Hamood Al Habs
Mhe. Waziri Balozi Dkt. Augustine Mahiga akizungumza na  Konseli Mkuu wa Ubalozi wa mdogo wa Oman Zanzibar Mhe. Ahmed Hamood Al Habs mara baada ya kukabidhi hati ya utambulisho

Mazungumzo yakiendelea 

Wakiwa katika picha ya pamoja

No comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.