Tuesday, November 15, 2016

Waziri Mahiga akutana na Balozi wa Algeria nchini Tanzania

Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Mhe. Balozi Dkt. Augustine Mahiga akimsikiliza Balozi wa Algeria nchini Tanzania Mhe. Saad Belabed katika mazungumzo yaliyofanyika Wizarani Jijini Dar es Salaam

Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Mhe. Balozi Dkt. Augustine Mahiga akifanunua jambo wakati wa mazungumzo na Balozi wa Algeria nchini Tanzania Mhe. Saad Belabed. Kulia ni Afisa wa Wizara akifuatilia mazungumzo

No comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.