Tuesday, February 13, 2018

Ziara ya Chuo cha Taifa cha Ulinzi (NDC) Wizara ya Mambo ya Nje

 Katibu Mkuu Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Prof. Adolf Mkenda  akifungua Mafunzo ya siku moja kwa wanachuo wa chuo cha Taifa cha Ulinzi yaliyofanyika katika ukumbi wa Mikutano wa Kimataifa wa Mwalimu Nyerere, tarehe 12 Februari,2018. Lengo la mafunzo hayo ilikuwa kuwapa uelewa wanachuo hao kuhusu majukumu ya Wizara.


Major General Yacoob Mohamed  Commandant, Mkuu wa chuo cha Taifa cha Ulinzi akitoa hotuba baada ya ufunguzi wa Mafunzo

 Wajumbe wakifuatilia mada katika mafunzo hayo

Sehemu ya Wajumbe wakifuatilia mafunzo hayo


Balozi Innocent Shiyo akitoa mada katika ziara hiyo kuhusu baadhi ya majukumu ya Wizara 

 Sehemu ya Wanachuo wakifuatilia mafunzo

 Baadhi ya Wakurugenzi kutoka Wizarani wakifutialia mafunzo hayo

 Mkurugenzi wa Idara ya Siasa, Ulinzi na Usalama Wizarani akitoa mada katika mafunzo hayo Mafunzo yakiendelea.
 Mafunzo yakiendelea


Katibu Mkuu Prof. Adolf Mkenda na Balozi Peter Kalaghe wakifuatilia mafunzo hayo 

Baadhi ya  Wakurugenzi kutoka Wizarani wakifuatilia mafunzo hayo

Baadhi ya wajumbe wa mafunzo hayo wakifuatilia mada

Major General Mohamed akikabidhi zawadi kwa Katibu Mkuu Prof Mkenda

Bi. Robi Bwiru Afisa Habari kutoka Wizarani akielezea ratiba ya Mafunzo hayo.

Picha ya Pamoja  baada ya Mkutano

No comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.