Tuesday, February 27, 2018

Katibu Mkuu wa Mambo ya Nje akutana kwa mazungumzo na Msajili wa Mahakama ya Kimataifa ya MICT

Katibu Mkuu wa Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Prof. Adolf Mkenda akiwa kwenye mazungumzo na Mhe. Olufemi Elias, Msaidizi wa Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa ambaye pia ni Msajili wa Mahakama ya Kimataifa ya Masalia ya kesi za Mauaji ya Kimbari ya Rwanda (Mechanism for International Criminal Tribunals-(MICT) iliyopo Jijini Arusha. Pamoja na mambo mengine Mhe. Elias aliipongeza Serikali ya Tanzania kwa kutoa kiwanja kwa ajili ya ujenzi wa Mahakama hiyo pia walizungumzia umuhimu wa Mahakama hiyo hapa nchini.
Mkutano ukiendelea.


No comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.