Saturday, February 10, 2018

Matukio ya Hafla ya Mwanzo wa Mwaka kwa Mabalozi ( Sherry Party)

 Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. John Pombe Magufuli, akiwa na Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki  Mhe.Balozi Augustine Mahiga na Katibu Mkuu wa Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Prof. Adolf Mkenda,wakiwa katika picha ya pamoja na Waheshimiwa Mabalozi wanaoziwakilisha nchi zao hapa nchini katika sherehe ya kukaribisha Mwaka mpya 2018 kwa Mabalozi (Diplomatic Sherry Party) iliyofanyika Ikulu, Dar es Salaam, tarehe 10 Februari 2018.

Mhe. Rais Dkt. John Pombe Magufuli, Mhe. Balozi Mahiga na Katibu Mkuu Prof. Mkenda wakiwa katika picha ya pamoja na Wawakilishi Wakuu, Wawakilishi wa Heshima na Wakuu wa Mashirika ya Kimataifa wanaowakilisha nchi zao hapa nchini.

 Waheshimwa Mabalozi wakiwa katika mchapalo kabla ya kuanza Tafrija
Katibu Mkuu, baadhi ya Wakurugenzi katika hafla hiyo

Balozi Grace Mujuma akibadilishana mawazo na baadhi ya Mabalozi waliohudhuria hafla hiyo

Sehemu ya Wakurugenzi kutoka Wizarani waliohudhuria hafla hiyo

Sehemu ya Wakurugenzi na  Maafisa wa Wizara

Baadhi ya Wakurugenzi na Maafisa kutoka Wizarani


Mhe. Rais Dkt. John Pombe Magufuli, Mhe. Balozi Mahiga wakiwasalimia na kuwakaribisha Mabalozi 






Baadhi ya Wakurugenzi na Maafisa wa Wizara wakiwa katika hafla hiyo.

No comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.