![]() |
| Mheshimiwa Matilda Masuka Balozi wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwenye Jamhuri ya Korea akitoa neno la ukaribisho wakati wa Kongamano la Kwanza ambalo liliandaliwa na Ubalozi wa Tanzania. |
![]() |
| Bw. Masuka, ambaye ni mume wa Mheshimiwa Balozi Matilda Masuka akiendesha kongamano hilo ambapo mwanafunzi Mtanzania anayesoma Seoul, akitafsiri kwa lugha ya Kikorea. |
![]() |
| Mheshimiwa Waziri Mahiga akiwa kwenye meza kuu kabla ya Kongamano kuanza. |
![]() |
| Bw. Geoffrey Mwambe, Mkurugenzi Mtendaji wa Kituo cha Uwekezaji Tanzania akitoa mada wakati wa Kongamano hilo lililofanyika Jijini Seoul Korea Kusini tarehe 31 Januari 2018. |









No comments:
Post a Comment
Note: Only a member of this blog may post a comment.