Monday, February 26, 2018

Katibu Mkuu wa Mambo ya Nje akutana na Balozi wa Palestina

Katibu Mkuu wa Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Prof. Adolf Mkenda akisalimiana na Balozi wa Palestina hapa nchini, Mhe. Hazem Shabat alipokuja kumtembelea na kufanya nae mazungumzo katika Ofisi za Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Jijini Dar es Salaam
Prof. Mkenda akimweleza jambo Balozi Shabat walipokutana na kufanya mazungumzo.
Balozi Shabat naye akifafanua jambo kwa Prof. Mkenda 
Mazungumzo yakiendelea. Kulia ni Afisa Mambo ya Nje, Bi. Kisa Doris Mwaiseba.




No comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.