Monday, February 26, 2018

Naibu Katibu Mkuu afungua mafunzo ya Maafisa wa Polisi

 
Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Balozi Ramadhani M. Mwinyi, akifungua mafunzo ya Maafisa wa Polisi yaliyofanyika katika Hoteli ya Hyatt Regency, Dar es salaam, mafunzo hayo yanaendeshwa na Wataalam kutoka chuo cha sayansi ya masuala ya Ulinzi Cha Naif Arab University cha Saud Arabia. Mafunzo hayo ni ya siku tatu(3), yaliyoanza tarehe 26-28 Februari,2018
Naibu Katibu Mkuu Balozi Mwinyi, kushoto kwake  ni Balozi Mohamed M. Al Malek , Balozi wa Saudi Arabia Nchini, kulia kwake ni , Balozi wa Tanzania nchini Saudi Arabia, Balozi Hemedi Mgaza na mwisho ni Kamishna wa Operesheni na mafunzo wa Jeshi la Polisi Commissioner Nsato M. Marijani  wakifuatilia mafunzo hayo.


Mafunzo yakiendelea
 
Sehemu ya washiriki kutoka Wizarani wakifuatilia mafunzo hayo

 Sehemu ya washiriki  na Wakufunzi wa mafunzo wakifuatilia mafunzo hayo
    Picha ya Pamoja.

No comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.