Sunday, November 26, 2023

WAZIRI MAKAMBA APOKEA TAARIFA MAALUM YA KUTATHMINI HALI YA UTUMISHI

Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Mhe. January Makamba (Mb.) akipokea taarifa Maalum ya kutathmini hali ya utumishi, majengo na uwakilishi katika Balozi zote za Tanzania kutoka kwa Kamati Maalum iliyoongozwa na Balozi Saidi Othman Yakubu katika Ofisi Ndogo za Wizara Jijini Dar es Salaam.






No comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.