Monday, March 18, 2013

Mhe. Naibu Waziri afungua mkutano kuhusu ushirikiano wa India na Afrika

Naibu Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Mhe. Mahadhi Juma Maalim (katikati) (Mb.) akifungua mkutano wa siku mbili ulioaandaliwa na Taasisi ya Utafiti wa masuala  ya Kiuchumi na Kijamiii (ESRF) ya hapa nchini kuhusu mahusiano kati ya India na Afrika. Mkutano huo ambao uliwahusisha wasomi kutoka Vyuo Vikuu mbalimbali duniani ulifanyika katika Hoteli ya Protea Courtyard Jijini Dar es Salaam.

Mhe. Maalim (wa nne kutoka kushoto) akiwa katika picha ya pamoja na wajumbe wa mkutano kuhusu ushirikiano kati ya India na Afrika.

No comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.