Friday, March 1, 2013

Mkurugenzi wa Ushirikiano wa Kimataifa azungumza na Balozi wa Indonesia hapa nchini

Balozi Celestine Mushy, Mkurugenzi wa Idara ya Ushirikiano wa Kimataifa katika Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa akizungumza na Mhe. Zakaria Anshar, Balozi wa Indonesia hapa nchini kuhusu masuala mbalimbali ya ushirikiano wa kimataifa.

Mhe. Balozi Anshar akifafanua jambo kwa Balozi Mushy wakati wa mazungumzo yao
 Balozi Mushy (katikati) na Bw. Lucas Mayenga (kulia), Afisa katika Idara ya Ushirikiano wa Kimataifa wakimsikiliza Balozi Anshar.

Balozi Mushy akipitia moja ya nyaraka alizokabidhiwa na Balozi Anshar walipokutana kwa mazungumzo.

Balozi Mushy akiagana na Balozi Anshar mara baada ya mazungumzo yao.

No comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.