Friday, October 26, 2018

Balozi Dkt. Slaa awasilisha Hati zake za Utambulisho kwa Rais wa Finland

Balozi wa Tanzania kwenye Nchi za Nordic, na Baltic Mhe. Wilbrod Slaa awasilisha Hati zake za Utambulisho kwa Rais wa Finland, Mheshimiwa Sauli Niinistö  jijini Helsinki
Balozi Dkt. Slaa akiwa katika picha ya pamoja na Mhe. Sauli Niinistö.


No comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.