Thursday, October 4, 2018

Naibu Waziri Dkt. Ndumbaro awa mgeni rasmi maadhimisho ya Taifa la Ujerumani

Naibu Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Mhe. Dkt. Damas Ndumbaro akihutubia wakati wa hafla ya kuadhimisha siku ya Taifa la Ujerumani iliyofanyika jijini Dar es Salaam hivi karibuni. Katika hotuba yake Mhe. Naibu Waziri ambaye alikuwa mgeni rasmi katika hafla hiyo alisisitiza umuhimu wa ushirikiano wa kihistoria uliopo kati ya Tanzania na Ujerumani. Hafla hiyo ilihudhuriwa na Mabalozi na wageni mbalimbali

Mhe. Dkt. Ndumbaro akimsikiliza Balozi wa Ujerumani nchini, Mhe. Detlef Wachter alipokuwa akimweleza jambo wakati wa hafla ya siku ya Taifa la Ujerumani

No comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.