Monday, October 29, 2018

Dkt. Ndumbaro akutana na Balozi Kenya

aa
Naibu Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Dkt. Damas Ndumbaro (kulia) amekutana na kufanya mazungumzo na Balozi wa Kenya nchini Mhe. Dan Kazungu. Mazungumzo yao yalihusu kuimarisha ushirikiano kati ya nchi mbili ikiwemo kutatua changamoto za kibiashara
Mhe. Naibu Waziri akiendelea na mazungumzo na Balozi wa kenya nchini

Mhe. Naibu Waziri akiagana na Balozi wa Kenya baada ya kumaliza mazungumzo yao.


No comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.