Wednesday, October 24, 2018

Dkt. Ndumbaro atembelea Ubalozi wa Jamhuri ya Sudani nchini.

Naibu Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Mhe. Dkt. Damasi Ndumbaro akiweka saini kwenye kitabu cha maombolezo ya aliyekuwa Rais wa zamani wa Jamhuri ya Sudani Mhe. Field Marshall Abdelrahman SwaralDahab ambaye alifariki dunia tarehe 18 Octoba, 2018, tukio hilo limefanyika kwenye ubalozi wa Jamhuri ya Sudani jijini Dar es Salaam Tarehe 24 Octoba, 2018.
Dkt. Ndumbaro akimsikiliza Balozi wa Jamhuri ya Sudani nchini Mhe. Mahgoub A. Sharfi, mara baada ya kumaliza kuweka saini kwenye kitabu cha maombolezo. 
Dkt. Ndumbaro akiagana na Balozi Sharfi.




No comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.