Wednesday, June 14, 2023

BALOZI MBAROUK ASAINI KITABU CHA MAOMBOLEZO UBALOZI WA ITALIA

Naibu Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Balozi Mbarouk Nassor Mbarouk (Mb.) amesaini kitabu cha maombolezo katika Ubalozi wa Italia nchini, kufuatia kifo cha Waziri Mkuu wa zamani wa Italia Mhe. Silvio Berlusconi kilichotokea tarehe 12 Juni, 2023.

Mara baada ya kusaini kitabu cha maombolezo, Balozi Mbarouk amesema Tanzania inamkumbuka Mhe. Berlusconi kwa kuimarisha uhusiano kati ya Tanzania Italia enzi za uongozi wake.

Naibu Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Balozi Mbarouk Nassor Mbarouk akisaini kitabu cha maombolezo katika Ubalozi wa Italia nchini, kufuatia kifo cha Waziri Mkuu wa zamani wa Italia Mhe. Silvio Berlusconi



Naibu Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Balozi Mbarouk Nassor Mbarouk akisaini kitabu cha maombolezo katika Ubalozi wa Italia nchini, kufuatia kifo cha Waziri Mkuu wa zamani wa Italia Mhe. Silvio Berlusconi. aliyesimama ni Balozi wa Italia nchini, Mhe. Marco Lombardi 

Naibu Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Balozi Mbarouk Nassor Mbarouk akitoa salamu za pole kwa Balozi wa Italia nchini, Mhe. Marco Lombardi kufuatia kifo cha Waziri Mkuu wa zamani wa Italia Mhe. Silvio Berlusconi


No comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.