Sunday, June 11, 2023

DKT TAX AZUNGUMZA NA RAIS WA JUMUIYA YA SAN EGIDIO

Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Mhe. Dkt. Stergomena Tax akiwa na Rais wa Jumuiya ya San Egidio, Marco Impagliazzo, walipokutana jijini Roma, Italia.

Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Mhe. Dkt. Stergomena Tax akizungumza na Rais wa Jumuiya ya San Egidio, Marco Impagliazzo, walipokutana jijini Roma, Italia.

 

Mazungumzo kati ya Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Mhe. Dkt. Stergomena Tax na Rais wa Jumuiya ya San Egidio, Marco Impagliazzo, yakiendelea .


Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Mhe. Dkt. Stergomena Tax na ujumbe wake katika picha ya pamoja  na Rais wa Jumuiya ya San Egidio, Marco Impagliazzo na ujumbe wake , walipokutana jijini Roma, Italia.


 

 

Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Mhe. Dkt. Stergomena Tax amekutana na Rais wa Jumuiya ya San Egidio, Marco Impagliazzo, jijini Roma, Italia. 

Dkt. ameipongeza jumuiya hiyo kwa kazi nzuri ya kutoa misaada ya kibinadamu na kuwakaribisha kushirikiana na serikali katika kutafuta amani na kuboresha maisha ya watu wenye uhitaji.

No comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.