Saturday, June 10, 2023

DKT TAX AKUTANA NA MKURUGENZI MKUU WA FAO

Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Mhe. Dkt. Tax akisalimiana na  Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Chakula la Umoja wa Mataifa (FAO) Dr. Qu Dongyu jijini Roma nchini Italia tarehe 09 Juni, 2023.

Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Mhe. Dkt. Tax akiwa  na Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Chakula la Umoja wa Mataifa (FAO) Dr. Qu Dongyu walipokutana jijini Roma nchini Italia tarehe 09 Juni, 2023.


Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Mhe. Dkt. Tax na  Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Chakula la Umoja wa Mataifa (FAO) Dr. Qu Dongyu wakizungumza walipokutana jijini Roma nchini Italia tarehe 09 juni, 2023.

mazungumzo yakiendelea na kushuhudiwa na wajumbe wa pande mbili.


Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Mhe. Dkt. Tax akisalimiana na Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Chakula la Umoja wa Mataifa (FAO) Dr. Qu Dongyu katika picha ya pamoja na wajumbe wao walipokutana jijini Roma nchini Italia tarehe 09 Juni, 2023.


Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Mhe. Dkt. Tax amekutana na kuzungumza na Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Chakula la Umoja wa Mataifa (FAO) Dr. Qu Dongyu jijini Roma. 

Katika mazungumzo yao Dkt. Tax ameipongeza FAO kwa jitihada za kukusanya rasilimali kwa ajili ya jamii mbalimbali kunufaika na miradi ya maendeleo ya Shirika hilo ambazo pia Watanzania wengi  wanazitegemea na kunufaika nazo.

 

No comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.