Tuesday, June 6, 2023

NAIBU WAZIRI, BALOZI MBAROUK AKAGUA MAENDELEO YA UJENZI WA JENGO LA OFISI YA WIZARA

Naibu Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki,  Balozi Mbarouk Nassor Mbarouk (Mb) akisalimiana na Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Balozi Fatma M. Rajab alipowasili eneo la Mtumba inapojengwa jengo la ofisi la Wizara hiyo kwa ajili ya kujionea maendeleo ya ujenzi.

Mkurugenzi Msaidizi anayeshughulikia masuala ya Majengo katika Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Mhandisi John Kiswaga akitoa maelezo kwa Naibu Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki,  Balozi Mbarouk Nassor Mbarouk (Mb) na Naibu Katibu Mkuu, Balozi Fatma M. Rajab kuhusu maendeleo ya ujenzi wa jengo la Ofisi ya Wizara katika eneo la Mtumba

Naibu Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki,  Balozi Mbarouk Nassor Mbarouk (Mb) akisaini Kitabu cha Wageni baada ya kuwasili eneo la Mtumba kujionea maendeleo ya ujenzi wa jengo la Ofisi ya Wizara 

Naibu Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki,  Balozi Mbarouk Nassor Mbarouk (Mb) akiangalia ngazi za kuingilia lango kuu la jengo la Ofisi ya Wizara linalojengwa Mtumba jijini Dodoma

Naibu Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki,  Balozi Mbarouk Nassor Mbarouk (Mb) akiangalia maendeleo ya ujenzi wa jengo la ofisi ya Wizara eneo la Mtumba jijini Dodoma.

Naibu Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki,  Balozi Mbarouk Nassor Mbarouk (Mb) na Naibu Katibu Mkuu, Balozi Fatma M. Rajab wakiongea na wakandarasi kuhusu maendeleo ya ujenzi wa jengo la Ofisi ya Wizara katika eneo la Mtumba jijini Dodoma

Hatua iliyofikiwa ya ujenzi wa Jengo la Ofisi ya Wizara linalojengwa eneo la Mtumba jijini Dodoma. Jengo limefikia zaidi ya asilimia 70 ambayo ni hatua inayokwenda sambamba na Mkataba wa ujenzi 

Naibu Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki,  Balozi Mbarouk Nassor Mbarouk (Mb) akitoa maelekezo kwa Mkandarasi kuhusu maendeleo ya ujenzi wa jengo la Ofisi ya Wizara Mtumba jijini Dodoma

Naibu Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki,  Balozi Mbarouk Nassor Mbarouk (Mb) na Naibu Katibu Mkuu, Balozi Fatma M. Rajab wakiongea na wakandarasi kuhusu maendeleo ya ujenzi wa jengo la Ofisi ya Wizara katika eneo la Mtumba jijini Dodoma



No comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.