Saturday, June 10, 2023

WAZIRI TAX AFANYA MAZUNGUMZO NA RAIS WA IFAD

Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Mhe. Dkt. Stergomena Tax akisalimiana na Rais wa Mfuko wa Kimataifa wa Maendeleo ya Kilimo (IFAD) Dkt. Alvaro Lario walipokuna kwa mazungumzo katika makao makuu wa Shirika hilo jijini Roma, Italia.

Waziri mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Mhe. Dkt. Tax amekutana na kuzungumza na Rais wa Mfuko wa Kimataifa wa Maendeleo ya Kilimo (IFAD) Dkt. Alvaro Lario jijini Roma na kubadilishana mawazo juu ya njia za kuimarisha ushirikiano kati ya Tanzania na IFAD ili kuweza kunufaika na miradi mbalimbali ya maendeleo inayoendeshwa na shirika hilo.
Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Mhe. Dkt. Stergomena Tax na Rais wa IFAD Dkt. Alvaro Lario katika picha ya pamoja
Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Mhe. Dkt. Stergomena Tax na Rais wa IFAD Dkt. Alvaro Lario wakiwa katika mazungumzo yaliyofanyika jijini Roma, Italia

Mazungumzo yakiendelea


No comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.