Monday, June 12, 2023

WAZIRI DKT. TAX AKUTANA NA MKURUGENZI MKUU WA IAEA JIJINI VIENNA


 

Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Mhe. Dkt. Stergomena Tax akisalimiana na  Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Umoja wa Mataifa linaloshughulikia Nishati na Atomiki (IAEA) Bw.  Rafael Grossi walipokutana jijini Vienna, Austria.

Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Mhe. Dkt. Stergomena Tax katika picha na Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Umoja wa Mataifa linaloshughulikia Nishati na Atomiki (IAEA) Bw.  Rafael Grossi walipokutana jijini Vienna, Austria.

Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Mhe. Dkt. Stergomena  na ujumbe wake wakizungumza na  Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Umoja wa Mataifa linaloshughulikia Nishati na Atomiki (IAEA) Bw.  Rafael Grossi jijini Vienna, Austria.

Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Mhe. Dkt. Stergomena Tax akiwa na Mkurugenzi wa Idara ya Ushirikiano wa Kimataifa (DMC) Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Balozi Noel Kaganda walipokutana na Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Umoja wa Mataifa linashughulikia Nishati na Atomiki (IAEA) Bw.  Rafael Grossi  jijini Vienna, Austria.

 Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Umoja wa Mataifa linashughulikia Nishati na Atomiki (IAEA) Bw.  Rafael Grossi na ujumbe wake walipokutana na Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Mhe. Dkt. Stergomena Tax na ujumbe wake kjijini Vienna, Austria.

 kikao kikiendelea.

 

Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Mhe. Dkt. Stergomena Tax amekutana na kuzungumza na Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Umoja wa Mataifa linaloshughulikia Nishati na Atomiki (IAEA) Bw.  Rafael Grossi jijini Vienna, Austria .

 

Katika mazungumzo yao Mhe. Dkt. Tax amemuhakikishia mkurugenzi huyo wa IAEA kuwa Tanzania itaendelea kushirikiana na shirika hilo kulishukuru kwa misaada inayoitoa kwa Tanzania kupitia sekta ya afya ikiwa ni pamoja na kuipatia vifaa tiba na kuongeza idadi ya wataalamu nchini.

 


No comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.