Friday, June 9, 2023

DKT. TAX AKUTANA NA MKURUGENZI MKUU WA IFAD JIJINI ROMA

 

Rais wa Mfuko wa Kimataifa wa Maendeleo ya Kilimo (IFAD) Dkt. Alvaro Lario akimpokea na kumkaribisha Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Mhe. Dkt. Tax akisalimiana na walipokutana jijini Roma nchini Italia.


Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Mhe. Dkt. Tax katika picha na Rais wa Mfuko wa Kimataifa wa Maendeleo ya Kilimo (IFAD) Dkt. Alvaro Lario walipokutana jijini Roma nchini Italia. 

 

 Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Mhe. Dkt. Tax akizungumza na Rais wa Mfuko wa Kimataifa wa Maendeleo ya Kilimo (IFAD) Dkt. Alvaro Lario walipokutana jijini Roma nchini Italia.


Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Mhe. Dkt. Tax katika picha na Rais wa Mfuko wa Kimataifa wa Maendeleo ya Kilimo (IFAD) Dkt. Alvaro Lario baada ya kumaliza mazungumzo yao

 

Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Mhe. Dkt. Tax amekutana na kuzungumza na Rais wa Mfuko wa Kimataifa wa Maendeleo ya Kilimo (IFAD) Dkt. Alvaro Lario jijini Roma. 









Katika mazungumzo yao viongozi hao wamejadiliana jinsi Tanzania inavyoweza kunufaika na miradi mbalimbali inayoendeshwa na Shirika hilo katika sekta ya kilimo.

 

No comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.