Wednesday, October 26, 2022

UMOJA WA ULAYA KUIPATIA TANZANIA MSAADA WA EURO MILIONI 166



Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Mhe. Dkt. Stergomena Tax (kulia) akiwa na Kamishina wa Umoja wa Ulaya anayeshughulikia Ubia wa Kimataifa, Mhe. Jutta Urpilainen kabla ya kuanza mazungumzo yaliyofanyika jijini Dar Es Salaam

Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Mhe. Dkt. Stergomena Tax akisisitiza jambo wakati wa mazungumzo na Kamishina wa Umoja wa Ulaya anayeshughulikia Ubia wa Kimataifa, Mhe. Jutta Urpilainen. Kushoto kwa Mhe. Waziri ni Balozi wa Tanzania nchini Ubelgiji na katika Umoja wa Ulaya, Mhe. Jestas Nyamanga. 

Kamishina wa Umoja wa Ulaya anayeshughulikia Ubia wa Kimataifa, Mhe. Jutta Urpilainen (katikati) na ujumbe wake wakisikiliza jambo kutoka kwa Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Mhe. Dkt. Stergomena Tax wakati wa mazungumzo yao yaliyofanyika jijini Dar Es Salaam

Kamishina wa Umoja wa Ulaya anayeshughulikia Ubia wa Kimataifa, Mhe. Jutta Urpilainen akisisitiza jambo wakati wa mazungumzo na Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Mhe. Dkt. Stergomena Tax

Balozi wa Tanzania nchini Ubelgiji na katika Umoja wa Ulaya, Mhe. Jestas Nyamanga akisalimiana na .Kamishina wa Umoja wa Ulaya anayeshughulikia Ubia wa Kimataifa, Mhe. Jutta Urpilainen alipowasili kwenye ofisi za Wizara kwa ajili ya mazungumzo 
Waziri wa Fedha na Mipango, Mhe. Dkt. Mwigulu Nchemba akisalimiana na Kamishina wa Umoja wa Ulaya anayeshughulikia Ubia wa Kimataifa, Mhe. Jutta Urpilainen alipowasili kwenye Kituo cha Kimataifa cha Mikutano cha Julius Nyerere kwa ajili ya kufanya mazungumzo

Waziri wa Fedha na Mipango, Mhe. Dkt. Mwigulu Nchemba na ujumbe wake wakiwa katika mazungumzo na Kamishina wa Umoja wa Ulaya anayeshughulikia Ubia wa Kimataifa, Mhe. Jutta Urpilainen yaliyofanyika kwenye Kituo cha Kimataifa cha Mikutano cha Julius Nyerere






 

No comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.