Sunday, October 23, 2022

RAIS WA JAMHURI YA KIDEMOKRASIA YA KONGO MHE. FELIX TSHISEKEDI AWASILI NCHINI

 

Rais wa Jamhuri ya Muunganbo wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan akimpokea mgeni wake Rais wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo, Mhe. Felix Tshisekedi baada ya kuwasili katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere Jijini Dar es Salaam kwa ziara ya Kitaifa ya siku mbili tarehe 23 na 24 Oktoba, 2022 

Rais wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo, Mhe. Felix Tshisekedi akiteta jambo na Rais wa Jamhuri ya Muunganbo wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan baada ya kuwasili nchini kwa ziara ya kitaifa ya siku mbili  

Rais wa Jamhuri ya Muunganbo wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan akimtambulisha Rais wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo, Mhe. Felix Tshisekedi kwa Wakuu wa Vyombo vya Ulinzi na Usalama baada ya kuwasili katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere Jijini Dar es Salaam


Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akiwa na Mgeni wake Rais wa Jamhuri ya Kongo (DRC) Mhe. Felix Tshisekedi wakiwa katika jukwaa la salamu za heshima za kijeshi katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere Jijini Dar es salaam

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akiwa na Mgeni wake Rais wa Jamhuri ya Kongo (DRC) Mhe. Felix Tshisekedi wakiwa katika jukwaa la salamu za heshima za kijeshi katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere Jijini Dar es salaam

Rais wa Jamhuri ya Kongo (DRC) Mhe. Felix Antonio Tshisekedi akikagua paredi maalumu aliyoandaliwa na Jeshi la Wananchi (JWTZ) mara baada ya kuwasili katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere Jijini Dar es Salaam













No comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.