Monday, October 10, 2022

RAIS SAMIA AZUNGUMZA NA RAIS RUTO IKULU DAR ES SALAAM

Mkuu wa Itifaki Tanzania Balozi Yusuph Mndolwa akiwa na Mkuu wa Itifaki Kenya Balozi Betty Cherwon wakiwa Ikulu jijini Dar es Salaam wakati wa ziara ya kikazi ya Rais wa Jamhuri ya Kenya Mhe. Dkt. William Ruto nchini  

 
Rais wa Jamhuri ya Kenya Mhe. Dkt. William Samoei Ruto akizungumza wakati wa mazungumzo na Rais wa Jamhuri ya Muungano Mhe. Samia Suluhu Hassan walipokutana Ikulu Dar es Salam.



Rais wa Jamhuri ya Muungano Mhe. Samia Suluhu Hassan akizungumza na Rais wa Jamhuri ya Kenya Mhe. Dkt. William Samoei Ruto  walipokutana Ikulu jijini Dar es Salaam   

Rais wa Jamhuri ya Muungano Mhe. Samia Suluhu Hassan akizungumza na Rais wa Jamhuri ya Kenya Mhe. Dkt. William Samoei Ruto (katikati) na Waziri wa Mambo ya Nje wa Kenya Mhe. Dkt. Alfred Mutua (kushoto) wakati wa mazungumzo rasmi Ikulu jijini Dar es Salaam 










 

No comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.