Friday, August 16, 2024

KATIBU MKUU MAMBO YA NJE AONGOZA UJUMBE WA TANZANIA KATIKA KIKAO CHA KAMATI YA MAKATIBU WAKUU WA SADC ORGAN TROIKA

 

Katibu Mkuu Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki ameongoza ujumbe wa Tanzania katika kikao cha Kamati ya Makatibu Wakuu cha Asasi ya Siasa, Ulinzi na Usalama ya Jumuiya ya Maendeleo Kusini mwa Afrika (SADC) uliofanyika tarehe 15 Agosti, 2024.

Mkutano huo pamoja na masuala mengine umejadili Hali ya Siasa, na Usalama katika kanda.
Nchi zilizoshiriki kikao hicho cha utatu ni pamoja na Tanzania, Zambia na Namibia.


No comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.