Wednesday, July 10, 2013

Hafla ya Chakula cha Jioni yafanyika kwa heshima ya Waziri wa Mambo ya Nje wa India

Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Mhe. Bernard K. Membe (Mb.) akimkaribisha katika hafla ya Chakula cha Jioni Waziri wa Mambo ya Nje wa India, Mhe. Preneet Kaur (mwenye nguo ya pinki walioketi) na ujumbe wake ambao walikuwa nchini kwa ajili ya kushiriki Mkutano wa Tume ya Pamoja ya Kudumu ya Ushirikiano (JPC) kati ya Tanzania na India uliofanyika tarehe 08 na 09 Julai, 2013.

Wajumbe kutoka Tanzania na India wakati wa hafla hiyo.

Mhe. Membe akimkabidhi Mhe. Kaur zawadi ya kinyago. Kulia ni Bw. Omar Mjenga, Kaimu Mkurugenzi wa Idara ya Asia na Australasia.

Mhe. Kaur akisikiliza maelezo kuhusu zawadi hizo za vinyago alizokabidhiwa na Mhe. Membe.

No comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.