Sunday, July 21, 2013

Waziri wa Mambo ya Nje wa New Zealand atua nchini Tanzania kwa ziara ya kikazi ya siku mbili

Waziri wa Mambo ya Nje wa New Zealand, Mhe. Murray McCully (kulia) akipeana mkono na Mkurugenzi wa Asia na Australasia katika Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Balozi Mberwa Kairuki wakati alipo wasili katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere. Mhe. McCully yupo nchini kwa ziara ya siku mbili ambapo atajadili na Viongozi wa Kitaifa wa Serikali namna ya kukuza na kuimarisha ushirikiano wa kiuchumi kati ya Tanzania na New Zealand.

Balozi Kairuki na Mhe. McCully wakielekea chumba maalum kwa ajili ya kufanya mazungumzo.

Waziri wa Mambo ya Nje wa New Zealand (kushoto) akiwa katika maungumzo na Balozi Kairuki.

No comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.